Breaking News

Picha: Waziri Mwakyembe amefanya mazungumzo na Mwakilishi kutoka Amnesty International


Waziri wa Habari, Utaduni, Sanaa na Michezo, Harrison Mwakyembe amefanya mazungumzo na Mwakilishi na Mchambuzi wa Sera kutoka  Amnesty International, Bibi Joan Nyaki  kuhusu Sekta ya Habari hususani wajibu wa vyombo vya Habari nchini kuandika na kusambaza habari zenye ukweli. 

No comments